suppot

Tuesday, 5 May 2015

Mgomo wa Madereva wasababisha vurugu mbagala



              Baadhi ya wakazi wa Mbagala wakizuia barabara kutokana mgomo wa madereva
(picha na makuka jr)

Mayweather amchapa Paquiao

 Hatimaye bondia FLOYDE MAYWEATHER aibuka kidedea kwa kushinda pambano dhidi ya PAQUIAO na kutwaa ubingwa wa WFB,HBO,PBO kwa points


Ushahidi wa Majaji wa Mpambano huo wakionesha matokeo ya mchezo huo ingawa watu wanasema kuwa FLOYDE MAYWEATHER hakushinda kihalali.
(picha na Makuka jr)

Rekodi za mabondia kati ya Paquiao na Mayweather


Ni baadhi ya rekodi za mabondia hao. je? Nani ataibuka kidedea na kuweka historia ya Dunia usikose kufatilia blog yetu ya harakati za Mtaa kwa taarifa muhimu zaidi

Mpambano mkali wa Dunia

Ule mpambano wa masubwi wa Dunia kati ya Bondia wa Philpino Manny Pacquiao na Marekani Floyde Mayweather umekaribi ambapo leo mabondiaa hao wamepima uzito na kutambiana