Tuesday, 5 May 2015
Mayweather amchapa Paquiao
Hatimaye bondia FLOYDE MAYWEATHER aibuka kidedea kwa kushinda pambano dhidi ya PAQUIAO na kutwaa ubingwa wa WFB,HBO,PBO kwa points
Ushahidi wa Majaji wa Mpambano huo wakionesha matokeo ya mchezo huo ingawa watu wanasema kuwa FLOYDE MAYWEATHER hakushinda kihalali.
(picha na Makuka jr)
Rekodi za mabondia kati ya Paquiao na Mayweather
Ni baadhi ya rekodi za mabondia hao. je? Nani ataibuka kidedea na kuweka historia ya Dunia usikose kufatilia blog yetu ya harakati za Mtaa kwa taarifa muhimu zaidi
Mpambano mkali wa Dunia
Ule mpambano wa masubwi wa Dunia kati ya Bondia wa Philpino Manny Pacquiao na Marekani Floyde Mayweather umekaribi ambapo leo mabondiaa hao wamepima uzito na kutambiana
Subscribe to:
Posts (Atom)