suppot

Tuesday, 5 May 2015

Mayweather amchapa Paquiao

 Hatimaye bondia FLOYDE MAYWEATHER aibuka kidedea kwa kushinda pambano dhidi ya PAQUIAO na kutwaa ubingwa wa WFB,HBO,PBO kwa points


Ushahidi wa Majaji wa Mpambano huo wakionesha matokeo ya mchezo huo ingawa watu wanasema kuwa FLOYDE MAYWEATHER hakushinda kihalali.
(picha na Makuka jr)

No comments:

Post a Comment