Aliyekuwa meneja na Mwanzilishi wa Tip top connection ABDU BONGE amefariki
dunia jana mach 28.
Kwa Mujibu wa chanzo chetu cha habari Abdu Bonge alikuwa akiugua
Harakati za mtaa blog Chini ya DOP Dully zinatoa pole kwa familia ya Bonge na Wafiwa
wote mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amin
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Tutawaletea Habari Zaidi
No comments:
Post a Comment