suppot

Saturday, 28 March 2015

MWANZILISHI WA TIP TOP CONNECTION ABDU BONGE AFARIKI DUNIA

                Aliyekuwa meneja na Mwanzilishi wa Tip top connection ABDU BONGE amefariki
                                                             dunia jana mach 28.

                      Kwa Mujibu wa chanzo chetu cha habari Abdu Bonge alikuwa akiugua


             Harakati za mtaa blog Chini ya DOP Dully zinatoa pole kwa familia ya Bonge na Wafiwa
                          wote mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amin
                               Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

                                                         Tutawaletea Habari Zaidi

RAIS WA ZIMBABWE ROBERT MUGABE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA AFRIKA NA CHINA,RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA


Mgeni rasmi wa Kongamano la tatu la Viongozi vijana wa Afrika na China,Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe akihutubia usiku wa jana kwenye kongamano hilo lililo fanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ngurdoto Arusha



Katibu mkuu wa CCM, Ndugu Abraham Kinana akizungumza katika kongamano hilo mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe

Rais kikwete akitoa salamu zake kwa washiriki wa kongamano la tatu la Viongozi Vijana wa Afrika na China,Ambalo mgeni rasmi alikuwa ni Rais wa Zimbabwe

Rais Jakaya kikwete akipewa tuzo ya heshima juu ya kuhamasisha Amni na utulivu Barani Afrika na Rais wa Umoja wa Vijana Afrika
(PAYU) Francine Furaha Muyumba.Tuzo hiyo imetolewa na umoja wa Vijana wa Afrika,pichani kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mufindi 
Mh. Mboni Mhita

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Baadhi ya washiriki wa Kongamano la tatu la umoja wa viongozi vijana wa Afrika na China,Ambapo Mgeni rasmi alikua ni Rais wa Zimbabwe 
Mh. Robert Mugabe

Rais Kikwete akizungumza jambo na katibu mkuu wa CCM ndug Kinana alipo wasili jioni ya jana 
katika moja ya ukumbi wa mikutano  hoteli ya Ngurdoto mjini Arusha, kwa ajili ya kutoa salamu kwa washiriki wa kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China
Ambalo mgeni Rasmi alikua ni Raiswa Zimbabwe ,Robert Mugabe
Pichani kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais -Mazingira Mh. Stephan Masele.
Picha zote na (DOP Abduly Makuka)


Kushoto bondia wa kichina kimso lee akitamiana na bondia wa kitanzania baja  ili kuoneshana ubavu ijumaa kweny pambano la utangulizi kati ya Kaseba na Maugo.
@.picha na Abduly makuka
Mabondia Japhet kaseba kushoto akitunisha misuli na Mada maugo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wa jana Ijumaa katika ukumbi wa Diamond jublee

Friday, 27 March 2015

Pasaka! Pasaka ! Pasaka!

IT'S ALL ABOUT MUSIC 
Chiwileinc Entertainment inakudondoshea show la kibaba likihusisha Amir mill, Fraga de Pro Sam Flavour Mwailonda Masia, Y-sam, Claver B, Masai wa kigoma Nzasa Hood & Dienova, siku ya Pasaka katika ukumbi wa Manchester Pub mbagala dar es salaam kwa kiingilio cha #3000 wanaume wakati wadada watachangia #2000 tu hii ndio nafasi kuja kucheza nikupeti peti na Dunia mzima Live Bila kusahau mixng kali toka kwa ma Dj DOP Kukaa

MSAKO MKALI

Waganga wa Jadi Wawapinga Mkwara Jeshi la Polisi, Wasema Tabia ya Kufanya Msako na Kuchukua Vibuyu vya Itawatokea Puani 
Wakati msako wa kuwakamata waganga wapiga ramli chonganishi ukiendelea nchi nzima CHEKI HAPA=>http://bit.ly/1zZzENW hasa katika mikoa ya kanda ziwa, jeshi la polisi nchini limepewa onyo toka kwa wanganga wa jadi juu ya vifaa vinavyokamatwa wakati wa msako wao.CHEKI HAPA=>http://bitly.com/1MBFSf4