Mgeni rasmi wa Kongamano la tatu la Viongozi vijana wa Afrika na China,Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe akihutubia usiku wa jana kwenye kongamano hilo lililo fanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ngurdoto Arusha
Katibu mkuu wa CCM, Ndugu Abraham Kinana akizungumza katika kongamano hilo mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe
Rais kikwete akitoa salamu zake kwa washiriki wa kongamano la tatu la Viongozi Vijana wa Afrika na China,Ambalo mgeni rasmi alikuwa ni Rais wa Zimbabwe
Rais Jakaya kikwete akipewa tuzo ya heshima juu ya kuhamasisha Amni na utulivu Barani Afrika na Rais wa Umoja wa Vijana Afrika
(PAYU) Francine Furaha Muyumba.Tuzo hiyo imetolewa na umoja wa Vijana wa Afrika,pichani kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mufindi
Mh. Mboni Mhita
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Baadhi ya washiriki wa Kongamano la tatu la umoja wa viongozi vijana wa Afrika na China,Ambapo Mgeni rasmi alikua ni Rais wa Zimbabwe
Mh. Robert Mugabe
Rais Kikwete akizungumza jambo na katibu mkuu wa CCM ndug Kinana alipo wasili jioni ya jana
katika moja ya ukumbi wa mikutano hoteli ya Ngurdoto mjini Arusha, kwa ajili ya kutoa salamu kwa washiriki wa kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China
Ambalo mgeni Rasmi alikua ni Raiswa Zimbabwe ,Robert Mugabe
Pichani kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya makamu wa Rais -Mazingira Mh. Stephan Masele.
Picha zote na (DOP Abduly Makuka)
No comments:
Post a Comment